Magulumangu jamani mbona wataka niumbua..</p>
<p>Nilichokwambia sirini hadharani wafichua....</p>
<p>Kila nililokueleza hivi sasa najutia....</p>
<p>Hakika nakwambia leo mwisho kunijua.,,
Hahhahhah wifi bwana sikujua hua wanafichua siri hawa watu...sasa nimejifunza!!!Studio naingia na hubby alafu ukipenda tukupe kiitikio....au angalau uwe meneja wetu!wifi upo juu!afu baba mkwe wako alikuwa anataka afungue studio,nadhani single ya kwanza itakuwa yako.hongera,ila usiongee na wanaume sirini eeh.
Hahhahhah wifi bwana sikujua hua wanafichua siri hawa watu...sasa nimejifunza!!!Studio naingia na hubby alafu ukipenda tukupe kiitikio....au angalau uwe meneja wetu!
Pole pole ya kazi gani wakati umeshaharibu...Msamaha na uwepo,mama nilishapitiwa,
Mwanzo wetu si pepo,kwake maombi mpendwa,
Haukuja kama upepo,hakika lifunuliwa,
Pole yake mama pole,kobe mbali husafiri,
Nitaanza kuwataja,kwa majina na tabia,
Afrodenzi namtaja, nyamayao fatilia,
Nilham anakuja,wa rasheedi fatilia,
Hata sisi ni staa, kwa majina nitataja,
Judi wetu mwanaheri,asha d sitokuacha,
sweetlady yu mahiri,lizzy ye muarusha,
Brackberry stahiri,kukuacha tutaisha,
Hata sisi ni staa, kwa majina nitataja,
Mwanajami1 jamani, jukwaa liwakilishe,
Pearl Matty huerini,Kareen_hapuch miche,
Daughter wake zioni,Blaki woman turushe,
Hata sisi ni staa, kwa majina nitataja,
Sio kwamba nakuacha, hili ni duru la kwanza,
Mkao kula kukicha,ntakuja na wa kwanza,
Wewe mwana maisha, kwa jina lake ni minza,
Hata sisi ni staa, kwa majina nitataja,
Nimekoma wifi....haitatokea tena!!!Hhahahhhah yani raha tupu..,,ila kwenye video itabidi awe anashiriki ili scene za malavidavi afaidi mwenyewe mmiliki!!!Tutakavyotoa vitu vya ukweli hata ukumbi sidhani kama utatosha!!!nshakuambia kaa mbali na wanaume hawa wakware watakuingizia kitumbua mchanga,lol! sasa dingi akimiliki studio,braza si ndo anakuwa meneja na ww muimbaji?mnakuwa kama jide na mumewe.mie ntakua nauza tickets za live show
nshakuambia kaa mbali na wanaume hawa wakware watakuingizia kitumbua mchanga,lol! sasa dingi akimiliki studio,braza si ndo anakuwa meneja na ww muimbaji?mnakuwa kama jide na mumewe.mie ntakua nauza tickets za live show
Pole pole ya kazi gani wakati umeshaharibu...
Ahhhh mashairi naona yamegoma...ngoja nirefresh!
Magulumangu jamani mbona wataka niumbua..
Nilichokwambia sirini hadharani wafichua....
Kila nililokueleza hivi sasa najutia....
Hakika nakwambia leo mwisho kunijua.,,
Nimekoma wifi....haitatokea tena!!!Hhahahhhah yani raha tupu..,,ila kwenye video itabidi awe anashiriki ili scene za malavidavi afaidi mwenyewe mmiliki!!!Tutakavyotoa vitu vya ukweli hata ukumbi sidhani kama utatosha!!!
nshakuambia kaa mbali na wanaume hawa wakware watakuingizia kitumbua mchanga,lol! sasa dingi akimiliki studio,braza si ndo anakuwa meneja na ww muimbaji?mnakuwa kama jide na mumewe.mie ntakua nauza tickets za live show
Hahahaha kumbe wewe jino kwa jino eeeeeeeeeeeeeeeeehhhhhh
Smile nimeitoa mpaka angle zinauma... Thank u Magulumangu..... huishi kunifurahisha... Keep it up ...
Lizzy nimeipenda.. naona umeanza ku assimilate....
Hahahahah yani nataka nikuseme mpaka ukome....
Hahahahah wifi huyu anajenga bwana habomoi!!!Mume wangu akikubali ntakushirikisha.....sauti ya ngapi kwanza wewe??Vipi hiyo single na mie nakaribishwa au nimejidelete tayari maana mawifi wakiingilia kati tu hata ndoa lazima ikatike kabisa.....lao moja tu kuharibu...
Hehehe njoo nikupe darasa la vina mpendwa.....
Sio koma na ukomae????Haya mi najua tu kwa vile wifi yako sijamuweka kaona wivu, kwetu tunasemaga....Koma kama gari la nkoma lilivyokoma kwenda nkoma....yaani hapo mtu harudiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hahahahahhha, ila wewe ukichapa la kulia nakupa na la kushoto, halafu nakupa na shingo uing'ate kabisa lkn sikomi n'go....
wewe tena nilikuwa na mwendelezo lkn duh nimeshambuliwa acha....nimeona ngoja nihang tuuuu hapa
K'asti upo juu... Ushari wako kitaa fulani unanifaa... Asante.