Kikwete hamwamini mtu yeyote aliyekuwa karibu na Mkapa!! kuanzanzia kwa Sumaye, Mangula, Ngwilizi, Yona, Mramba, Maghufuli, Tambalizeni nk. infact kwenye uchaguzi huu anamwamini Mama Salma, Ridhwan, Kinana, Shekhe Yahya na yule dogo wake sijui Miraji sijui nani!!