Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
Hayati Magufuli alihudhuria Ibada za Wakatoliki karibu kila Jumapili hadi alipopotea tukaanza kumtafuta. Hakuna cha Padre wala Askofu aliyewahi kusimama mbele yake akamwambia maneno kama aliyoambiwa Rais wetu Samia leo.
Tafakari.
Tafakari.