kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Siku zote unaweza kutenda mema 100 lakini wapo wanadamu ambao watasubiri utende kosa moja tu ili kufuta mazuri yote ambayo umewahi kutenda katika maisha.
Mwanangu usikate tamaa, wewe ni mwanadamu huwezi kutenda yote, na huwezi kufanya yote yakawa sahii.
By Donald Trump
Mwanangu usikate tamaa, wewe ni mwanadamu huwezi kutenda yote, na huwezi kufanya yote yakawa sahii.
By Donald Trump