Hata viongozi wa dini hawaitambui Katiba hii ya CCM

Hata viongozi wa dini hawaitambui Katiba hii ya CCM

James Hungury

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2013
Posts
825
Reaction score
612
Wana JF,hebu tuzungumze kuhusu habar hii ya katiba,maoni yaliyotolewa na Viongozi wa umoja wa kikristo Tanzania,tupigie kura ya Hapana katiba,mimi naunga mkono Je wewe?
 
wana jf,hebu tuzungumze kuhusu habar hii ya katiba,maoni yaliyotolewa na viongozi wa umoja wa kikristo tanzania,tupigie kura ya hapana katiba,mimi naunga mkono je wewe?

tanzania ni nchi isiyo na dini, sasa wao badala ya kuwashawishi waumini wao wasitende dhambi wasije wakamkosea muumba wao, wao wanawashawishi wasiipigie kura katiba inayopendekezwa, hivi hao ni viongozi wa dini au wanasiasa? Duh
 
Back
Top Bottom