Hata wanaume hulia

Mtu anasaidie kweli hili, sijawahi kulia sehemu yeyote ile tofauti na lakini nicheka sana machozi yenyewe huwa yanatoka!
 
Acha kabisa in uchuro kuona machozi ya uchungu ya mwanaume.hua anatoa machozi ya njano km ni ya uchungu. Km ni ya kuomba penzi ni meupe.
Kumbe mpo mnaolia kisa kuomba Nyapu?? Hahaha mi siwezagi hivyo
 
Acha kabisa in uchuro kuona machozi ya uchungu ya mwanaume.hua anatoa machozi ya njano km ni ya uchungu. Km ni ya kuomba penzi ni meupe.
[emoji15] [emoji15] [emoji25] [emoji83] [emoji3]
 
Machozi yetu wanaume pale yanapodhihiri hadharani hata mkiwa wawili basi humaanisha sana kuliko vilio vya wanawake kadhaa katika maisha yao ya kwaida
 

Sure and perfectly, men do cry, even when they know their forgery av bn discovered. Tear of sympathy. [emoji27] [emoji27] [emoji22] [emoji22]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…