jaribu kumpa mda wa kuwaza mkuu,usiapologise sana,mpe mda na yeye atulize mawazo.mkuu,mtu ulyemzoea ni ngumu kumsahau haraka.
nilimtikisia kiberit,kumbe mwenzangu kachukulia seriouz.
Nachoweza kukushauri ni endelea kumuomba msamaha mwambie ni jinsi gani unampenda na unamuhitaji yaani uwe ni wimbo wake asubuhi mchana na jioni kama anakupenda atarudi tu ucwe na shaka
Mix these two:jaribu kumpa mda wa kuwaza mkuu,usiapologise sana,mpe mda na yeye atulize mawazo.
Akifanya haya uliyo mshauri afu bado bidada asisamehe, basi aendelee na maisha. Umemshauri vizuri sana RR.Mix these two:
1. Muone au mtumie email ya kumuomba msamaha. msamaha wenyewe ni
2. Then Mpe muda. Ukimpigia sana unazidi kumuongezea hasira na anaona kama akikujibu utadhani ni sababu ya pressure. Heshimu maamuzi yake ya kutowasiliana nawe (unaweza kuweka hili ndani ya mail). Na wewe mwenyewe jipe muda wa kutafakari why you did that and what are the other ways ungeweza tumia kufikia same results.
- (1) nimekosea,
- (2) sikua na sababu ya msingi ya kufanya hivo ila ni ujinga wangu tu
- (3) nasikitika sana I made you feel the way you feel, na
- (4) Nitahakikisha sirudi tena.
Ikipita siku 3, or 5 or a week (mwenyewe unajua kiwango cha mawasiliano yenu) mtumie tena message ingine kuomba mkutane ili kuongea kuhusu penzi lenu. She will come I am sure, and be prepared to respect whatever she has to say.
Mix these two:
1. Muone au mtumie email ya kumuomba msamaha. msamaha wenyewe ni
2. Then Mpe muda. Ukimpigia sana unazidi kumuongezea hasira na anaona kama akikujibu utadhani ni sababu ya pressure. Heshimu maamuzi yake ya kutowasiliana nawe (unaweza kuweka hili ndani ya mail). Na wewe mwenyewe jipe muda wa kutafakari why you did that and what are the other ways ungeweza tumia kufikia same results.
- (1) nimekosea,
- (2) sikua na sababu ya msingi ya kufanya hivo ila ni ujinga wangu tu
- (3) nasikitika sana I made you feel the way you feel, na
- (4) Nitahakikisha sirudi tena.
Ikipita siku 3, or 5 or a week (mwenyewe unajua kiwango cha mawasiliano yenu) mtumie tena message ingine kuomba mkutane ili kuongea kuhusu penzi lenu. She will come I am sure, and be prepared to respect whatever she has to say.
Ndugu zangu,usiku huu wa manane nimekosa usingizi kabisa cuz of ths lady who is seriously driving me craizy,nakiri ni kweli nilimkosea,nikajutia kosa langu bt suprisingly,she is stil mad to me,tena leo ndo imekua mbaya zaidi bcuz she is neither responding to my colz nor replyn my txts,kuna muda nlikua facbuk nkamuona nae yuko online,nkamtext bt response was zero,mwenzenu niko kwenye hali mbaya,cjala k2 toka asubuh,nikishka madesa yangu ndo hayapandi kabisa.naomben mnishauri nifanyaje mwenzenu.
nilimtikisia kiberit,kumbe mwenzangu kachukulia seriouz.