Hataki nitazame simu yake

Hakufai huyo, hakuna kitu kinachovunja ndoa siku hizi kama simu, maana inafikia mtu kila anapoenda (Chooni, bafuni ,nk) yupo na simu mkononi na akihisahahu tu mwenzie keshaidaka fast na kuanza kuipekuwa
Kwa mapenzi ya kweli na ya dhati amabyo hayana cheating hakuna haja ya kuzuia simu yako kwa mwenzio, unapoizuia tu mtu anakuja na maswali mengi mno, kuzuia simu ni kukosa uaminifu kwa mwenzio

kiukweli mnatakiwa muwe free kiasi hata simu ikilia na mwenenayo hayupo basi unaweza kupokea na kujibu hiyo simu na hata msg unaweza kuzijibu,
 
Namtamani mtu kama huyu, ambaye nikishika simu yake sipata presha,
Na yeye akishika simu yangu hapati presha.

Yani hakuna madudu yakusababisha hizo presha.
Kama tu simu ni presha kwangu, basi na yeye mwenyewe lazima atakuwa presha tu.

Huyu ni LD lakini, Kwa hiyo bwana Seto hebu huyo mdada mwangalie mara mbilimbili kabla ya kufanya maamuzi yoyote hapo.

RETHINK ABOUT HER.
 
Hakufai kabisa huyo. saa ya ukombozi ni sasa chukua hatua songa mbele.
Tafuta mwanamke ambaye atakuwa muwazi kwako itakusaidia!
 

Kwani simu hiyo ni jumuia mpaka mwe mnatumia wote?
 
kama huna demu mwingine anza kutafuta mapema. na wewe unataka nini kwani? unataka kumuoa au?
 
She is simply protecting you from the TRUTH
 
kama huna demu mwingine anza kutafuta mapema. Na wewe unataka nini kwani? Unataka kumuoa au?

ndiyo nataka kumuoa, hata mama na ndugu zake wananijua ila utambulisho rasmi bado.
 
Hapo mkuu upo wewe mme mtarajiwa na jibaba/zee la kulichuna so hataki uone sms za babu
 
kwani simu hiyo ni jumuia mpaka mwe mnatumia wote?

siyo ya jamuiya ila mbona yeye anakomalia yangu tena nisipompa inazua bonge la ishu.

 
kuna ambacho hataki ukione kwenye simu yake,heshimu hilo.....:suspicious::suspicious:

If you do not trust her and she is not helping you to trust her ,then let her go.......:car:

am trying so hard to trust her ila tatizo naumia kuwa gizani kuhusu vilivyomo kwenye hiyo simu tena niliyoinunua mwenyewe kama zawadi ya kufaulu kwake form 6 vizuri.
 

yupo u dom.

 
Simu ya mtu ni siri. Kisheria hutakiwi kupekuwa simu ya mtu bila yeye mwenyewe kukuruhusu
 
weka yakwako "Security Code to"
halafu hapo ngoma dro...
 
siyo ya jamuiya ila mbona yeye anakomalia yangu tena nisipompa inazua bonge la ishu.


Mambo mengine unajidhalilisha we mwanume gani unatawaliwa na mwanamke tena girlfriend wala si mke??
Hebu onyesha uanaume wako acha kulegea kijana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…