Hatakupenda sitamani, utamu wa mapenzi umekula kwangu mimi..nahama Dar kujikomoa

Mariooo utawajua tu,unachanganyikiwa nini sasa,mwenyewe anataka kuchukua jumla umekula pesa zake muda mrefu kaza mat..o anza maisha upya,hakuna kukaa kujijini msomi kama ww unahitajika sana kujenga taifa kwa mchango wako
 
Habari ya GPA inaingia vipi kwenye hiyo hadithi yako? Vilaza mna tabu sana.
 
Kuna wadada wengine, wanatamani kupiga mikasi na wale wanaume wanaowapenda toka mioyoni mwao, lkn kuwapata hao ni kama wamechelewa maana anaenda kuolewa kwingine, ili kumaliza hamu njia yao ni kuhakikisha 'KULA RAHA NA MWANAUME ALIYEMZIMIA' kabla ya kuolewa na mwanaume mwingine. Hii ipo kabisa!
 
Afu kumbe Muhehe...tena wa Nyororo,jiran yako mie wa Mbalamaziwa...umetuabisha sana wahehe gulefu veve...mkwamisi wita mkimama?ino wisaka kiki?...mtoto wa kihehe unalia?kweli Vijana wa Mkwawa wameisha!
 
Ogopa sana mwanamke anakupa pesa mwanaume. mara nyingi huwa si jasho lake maana mwanamke kutoa hela ya jasho lake thubutu. Mi huwa nawasikilizaga tu watu eti demu wangu ananipenda huyo, nikiomba pesa yoyote napewa! Kumbe anakuachia maradhi tu. Tena shukuru alikuambia tu mimba si yako angekuambia unangoma je? Kapime kaka ujicheki. Halafu siku nyingine uache kushobokea hela za mwanamke
 
Habari ya GPA inaingia vipi kwenye hiyo hadithi yako? Vilaza mna tabu sana.


jipie kama nyanya sokoni kwanza chuo gani hicho? Jipiei zinapatikana kirahisi hivi au vyuo hivi vya kata nini?
 
Dah, mkuu pole sana, pambana ipo siku utatoka tu. lakini pale ktk GPA kutoka chini ya 3 kwa miaka miwili mpaka 4 kwa mwaka wa 3 naona naona kama haiwezekani hata kama alipata 5 zote ktk masomo yote mwaka watatu.
 
<span style="font-family: times new roman"><i><font color="#ff0000">Nyipie kama nyanya sokoni kwanza chuo gani hicho? Jipiei zinapatikana kirahisi hivi au vyuo hivi vya kata nini?</font></i></span>
sijataka hata kujiuliza ni chuo gani, kwani maelezo yake tu hayaendan na hyo 4.3 anayoisema.
 
Wewe mhuni 2 hata maneno yako yanaonyesha hauko poa.Maneno unayotumia siyo ya mtu mwenye busara kwa hivyo binti kapata mwenye busara zaidi.Mara nyingi uwe na busara vinginevyo utawakosa wengiiii
 
Still bado ulikuw ana no yake na mnazidi kuwasiliana wakati kashakuambia kuwa mimba sio yako
ukwel huwa annpigia cpokei sms nadelete hachelew kunialika kwa harus yule
 
Sio mwisho wa maisha, songa mbele
 
Mariooo utawajua tu,unachanganyikiwa nini sasa,mwenyewe anataka kuchukua jumla umekula pesa zake muda mrefu kaza mat..o anza maisha upya,hakuna kukaa kujijini msomi kama ww unahitajika sana kujenga taifa kwa mchango wako
ntalijenga taifa kwa kuhamasisha kilimo kwanza
 
Afu kumbe Muhehe...tena wa Nyororo,jiran yako mie wa Mbalamaziwa...umetuabisha sana wahehe gulefu veve...mkwamisi wita mkimama?ino wisaka kiki?...mtoto wa kihehe unalia?kweli Vijana wa Mkwawa wameisha!
asee broo nimecheka asee bro love is wicked ino ukufwa muyao se ndifwa haa ila chamoto ndikuluwona muyao
 
ukwel huwa annpigia cpokei sms nadelete hachelew kunialika kwa harus yule

Kwani shida ni nini ukialikwa kwenye harusi
Mwanaume usiwe na kinyongo tena nenda mpelekee na zawadi kabisa kuonyesha huna kinyongo nae
 
Nyipie kama nyanya sokoni kwanza chuo gani hicho? Jipiei zinapatikana kirahisi hivi au vyuo hivi vya kata nini?
mi mtambo kaka uliza mzumbe pcm 2006 niliwafanya nn
 
Dah, mkuu pole sana, pambana ipo siku utatoka tu. lakini pale ktk GPA kutoka chini ya 3 kwa miaka miwili mpaka 4 kwa mwaka wa 3 naona naona kama haiwezekani hata kama alipata 5 zote ktk masomo yote mwaka watatu.
hiyo si overall ni ya mwaka wa tatu tuu ,nia haikuwa kuji boost but kuelezea mchango wangu kwa kilaza yule
 
Kama kweli ni mkweli kapime ngoma then umurudie mungu. Shetani alikuwa anakutafuta na utapotea dogo.
 
Wewe mhuni 2 hata maneno yako yanaonyesha hauko poa.Maneno unayotumia siyo ya mtu mwenye busara kwa hivyo binti kapata mwenye busara zaidi.Mara nyingi uwe na busara vinginevyo utawakosa wengiiii
busara na mapenzi ,two inversely related ,she changed
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…