Mkikuyu- Akili timamu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 4,310
- 7,465
Ni vitu viwili tofauti hivyo, uchumi wa Kenya upo mikononi mwa watu wachache sana, hiyo 50% ya miradi ni ile ya serikali, serikali ya Kenya ni masikini haina uwezo wa kutekeleza miradi kwa pesa zake, na hata wakikopa pesa yote hupotea mifukoni mwa wanasiasa.
Ni vitu viwili tofauti hivyo, uchumi wa Kenya upo mikononi mwa watu wachache sana, hiyo 50% ya miradi ni ile ya serikali, serikali ya Kenya ni masikini haina uwezo wa kutekeleza miradi kwa pesa zake, na hata wakikopa pesa yote hupotea mifukoni mwa wanasiasa.
Sent using Jamii Forums mobile app