Hatari hii

Hatari hii

Mr Mikazo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2016
Posts
1,594
Reaction score
800
Nakumbuka mtihani wa la saba unaanzaga km masikhara hivi!

19+87=
219-45=
12x34=
59÷7=
....
Afu huko mbele sasa kuanzia swali la sita saba hivi, utajutaa:

Ndege inatoka Dar saa tatu kwenda Chato. VX linatoka Chato saa nne kwenda Dar.

Ikiwa spidi ya ndege ni 350km/saa na ya VX ni km220/Saa, na umbali wa Chato-Dar ni KM 900, zitakutana sangapi?

Sa mi ntajuaje![emoji125][emoji125]
Na hizi tochi zote?!?
 
Hata mimi nashindwa kuelewa mkuu kuwapa maswali ya namna hiyo watoto.Labda kaka yao tu anayeitwa Madenge ndiye anayeweza kujibu maswali magumu hivyo kama Ugali wa Wasukuma.
 
Mbaya zaidi unakuta swali la 7 ulijaza jibu ni 542 alafu manguli wa hesabu wanabishana jibu ni negative 2 au postive 2!!! hapo lzm ujijue wewe ni ki....za 🙁🙁🙁
 
Heheh,hapo ndo macho yanapoanza kupepesa kuelekea kwa mdahiliwa aliye jirani yako
 
Hahahahahaaa...Mkuu ngoja waje wenyewe....uwape ushahidi wa uwanja wa chato imeanza lini ku oparate...
Halafu hizo tochi ambazo zinafungwa juu ya mti barabarani utakua na uhakika gani utafika saa ngapi
 
Hata mimi nashindwa kuelewa mkuu kuwapa maswali ya namna hiyo watoto.Labda kaka yao tu anayeitwa Madenge ndiye anayeweza kujibu maswali magumu hivyo kama Ugali wa Wasukuma.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mbaya zaidi unakuta swali la 7 ulijaza jibu ni 542 alafu manguli wa hesabu wanabishana jibu ni negative 2 au postive 2!!! hapo lzm ujijue wewe ni ki....za 🙁🙁🙁
[emoji1] [emoji1] [emoji1] umenikumbusha kuna pepa moja nilimaliza, ile nakusanya vyangu nitoke nashangaa mbabe mmoja wa geog anachora graph.jasho likaanza kutoka mikononi[emoji15] [emoji53] [emoji53] [emoji16]

Kurudia kusoma maelekezo nikakuta lipo ila si katika maswali niliyochagua.
Nikagundua kumbe Yesu ni mwokozi.
 
Nakumbuka mtihani wa la saba unaanzaga km masikhara hivi!

19+87=
219-45=
12x34=
59÷7=
....
Afu huko mbele sasa kuanzia swali la sita saba hivi, utajutaa:

Ndege inatoka Dar saa tatu kwenda Chato. VX linatoka Chato saa nne kwenda Dar.

Ikiwa spidi ya ndege ni 350km/saa na ya VX ni km220/Saa, na umbali wa Chato-Dar ni KM 900, zitakutana sangapi?

Sa mi ntajuaje![emoji125][emoji125]
Na hizi tochi zote?!?
kwan na VX ina paaaa hd ikutane na ndege?
 
Nakumbuka mtihani wa la saba unaanzaga km masikhara hivi!

19+87=
219-45=
12x34=
59÷7=
....
Afu huko mbele sasa kuanzia swali la sita saba hivi, utajutaa:

Ndege inatoka Dar saa tatu kwenda Chato. VX linatoka Chato saa nne kwenda Dar.

Ikiwa spidi ya ndege ni 350km/saa na ya VX ni km220/Saa, na umbali wa Chato-Dar ni KM 900, zitakutana sangapi?

Sa mi ntajuaje![emoji125][emoji125]
Na hizi tochi zote?!?
mbona simple, una assume VX imepata pancha
 
Back
Top Bottom