Hatari jamani

papaa2015

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2012
Posts
411
Reaction score
101
Habari wadau,

kwa siku 10 zilizopita nimekuwa nikijisikia mwili mzito na mara nyingi naskia mapigo ya moyo kama yanashtuka kila mra.Ni kweli nina uzito mkubwa,najitahid kufanya diet na mazoezi kidogo lakin haujapungua.

Je,hii ni dalili ya B.P? Nifanye nini kudhibiti hali hii?
Madaktari nawasikiliza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…