Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 283
wakuu
wanawake kweli ni hatari!
leo asubuhi wafanya usafi wamekiokota kichanga ndani ya dustbin. tukio limetokea block L....
kweli msomi huyu ataweza kutufikisha sisi vijijn tukawa na elimu bora, afya bora, n.k.
maswali!
tatizo ni nn hadi akatupa?
baba mweka mimba alikuwa hajuwi?
wazazi wake je?
wabachuo wenzake, walez chuoni hawakujua?
hebu tuchangiane maarifa,
mm
PJ,
MAKONDE PRESIDENT
MTWARA
wanawake kweli ni hatari!
leo asubuhi wafanya usafi wamekiokota kichanga ndani ya dustbin. tukio limetokea block L....
kweli msomi huyu ataweza kutufikisha sisi vijijn tukawa na elimu bora, afya bora, n.k.
maswali!
tatizo ni nn hadi akatupa?
baba mweka mimba alikuwa hajuwi?
wazazi wake je?
wabachuo wenzake, walez chuoni hawakujua?
hebu tuchangiane maarifa,
mm
PJ,
MAKONDE PRESIDENT
MTWARA