Kwa kuonesha wanafunzi wa UDOM kuchoshwa na propaganda za Mkopo kuna mpango wa kufanya uharibifu mkubwa mji wa Dodoma.
Moja ya wanafunzi wanaoratibu Mpango huo amesema watavamia ofsi zote za serikali Dodoma ili kusikilizwa. Amesema kama Mtwara wameweza kwa petroli wao watashindwa nini?
Mpango huo umesukwa na wanafunzi wa vitivyo vyote ukiratibiwa na baadhi ya wanaharakati.
Hata hivyo rais wa kitivo kimoja alipoulizwa amesema ni idadi kubwa hawajapewa fedha zao ijabo ni Loan beneficials.
Moja ya wanafunzi wanaoratibu Mpango huo amesema watavamia ofsi zote za serikali Dodoma ili kusikilizwa. Amesema kama Mtwara wameweza kwa petroli wao watashindwa nini?
Mpango huo umesukwa na wanafunzi wa vitivyo vyote ukiratibiwa na baadhi ya wanaharakati.
Hata hivyo rais wa kitivo kimoja alipoulizwa amesema ni idadi kubwa hawajapewa fedha zao ijabo ni Loan beneficials.