njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Haswa team inapoenda mikoani wanaposhuka kwenye basi au kama ile walivyopokelewa Airport wakitoka Kinshasa Manula akanusurika kuibiwa simu.
Kumbukeni kuna kipindi Rwanda watu walikuwa wanogopa kusalimiana mtu anaweka kipini kidogo anabana na super glue kina sumu anakusalimia anakuchoma nacho.
Uko wapi ule utaratibu wachezaji wakishuka kwenye basi wanajipanga wanasimba wanaweka ukuta wa watu left and right? Narudia tena kuanzia leo as long as mnataka mfike nusu fainali ulinzi wa wachezji uwe priority tuliyoyaona kwenye mechi ya JKT ni rasharasha watakuja kupigwa hata sindano ya sumu na watu watakaojifanya wanawakumbatia n a kuwashikashika
Kumbukeni kuna kipindi Rwanda watu walikuwa wanogopa kusalimiana mtu anaweka kipini kidogo anabana na super glue kina sumu anakusalimia anakuchoma nacho.
Uko wapi ule utaratibu wachezaji wakishuka kwenye basi wanajipanga wanasimba wanaweka ukuta wa watu left and right? Narudia tena kuanzia leo as long as mnataka mfike nusu fainali ulinzi wa wachezji uwe priority tuliyoyaona kwenye mechi ya JKT ni rasharasha watakuja kupigwa hata sindano ya sumu na watu watakaojifanya wanawakumbatia n a kuwashikashika