wakuu kuna mshikaji wangu hivi kila akilala usiku anamuota israel mtoa roho anamvizia vizia hii yote ni kwa sababu ya hofu ya kutolewa roho na mkewe aliyeanza tabia ya kulala na mapanga na visu wakati wa usiku. je mkuu una ushauri gani kwa huyu best yangu?
Dah! Cster Faizafoxy Mfukunyuku Sana! Ukipita Kweny Post Kama Hujarekebisha Mchapio! Bas Umemkumbusha Mtu Uongo Wa Post Iliyopita!! Well! Wew Ni Mmoja Wa Watu Wanaonifanya Niifurahie Jf.Umesharudi Somalia?
Hahaha anapokutanaga na wanyama eee!Mwambie ahamie mikumi
Mshikaji wako aanze kulala na sandawakuu kuna mshikaji wangu hivi kila akilala usiku anamuota israel mtoa roho anamvizia vizia hii yote ni kwa sababu ya hofu ya kutolewa roho na mkewe aliyeanza tabia ya kulala na mapanga na visu wakati wa usiku. je mkuu una ushauri gani kwa huyu best yangu?
Duuuuh shangazi upoooh? Nlikumic eti lolUmesharudi Somalia?