BROTHER OF BROTHERS
Senior Member
- Jun 30, 2013
- 113
- 159
Tafadhali Sana ninaomba msaada wa Haraka Mimi nimesomea Mambo ya IT na Nina Diploma yake lkn nimeona Tangazo la nafasi za Kazi likiwa linahitaji Mtu anayejua Hati mkato na Shorthands anayechapa maneno 100 Kwa dkk Sasa Mimi naweza Sana Kuchapa ingawa sijui typing speed ya Hati mkato. N
isaidieni je, niombe hii nafasi kibishi au niache? WhatsApp & Call 0739115313
isaidieni je, niombe hii nafasi kibishi au niache? WhatsApp & Call 0739115313