Hati za kumiliki ardhi za kimila

Hati za kumiliki ardhi za kimila

kipakaMwitu

Senior Member
Joined
Feb 19, 2009
Posts
158
Reaction score
23
wanaJF, hv utoaji wa hati za kumiliki ardh vijijin /wenyewe wanaita hati za kimila/ zinatolewaje? Ni mikoa gan? wilaya zake, vijiji gan vilivyopo kwenye mpango huo wa serikali yetu ya magamba? JE PWAN KUNA HILO?
 
wanajf, hv utoaji wa hati za kumiliki ardh vijijin /wenyewe wanaita hati za kimila/ zinatolewaje? Ni mikoa gan? Wilaya zake, vijiji gan vilivyopo kwenye mpango huo wa serikali yetu ya magamba? Je pwan kuna hilo?


mkuu labda kwa kukusaidia kuna wilaya moja ya handeni tanga ndo ninayo ifahamu mimi inatoa hizo za kimili. But zipo na wilaya nyingine nyingi lakini si zifahamu.
 
mkuu labda kwa kukusaidia kuna wilaya moja ya handeni tanga ndo ninayo ifahamu mimi inatoa hizo za kimili. But zipo na wilaya nyingine nyingi lakini si zifahamu.

thanx komando kwa msaada wako.
 
wanaJF, hv utoaji wa hati za kumiliki ardh vijijin /wenyewe wanaita hati za kimila/ zinatolewaje? Ni mikoa gan? wilaya zake, vijiji gan vilivyopo kwenye mpango huo wa serikali yetu ya magamba? JE PWAN KUNA HILO?

Nakumbuka mpango ule walianza na vijiji vya mfano vichache kwa kila Wilaya, na utakuta Wilaya nyingine wameshakamilisha ktk vijiji vichache na wilaya nyingine bado. Kuna kijiji niliandikisha jina mwaka mmoja umeshapita,hakuna hata mmoja pale kijijini aliyepata hiyo hati. Cha ajabu kijiji cha jirani wilaya nyingine mkoa huo huo unaweza kupata ndani ya miezi mitatu hivi. Kuna wilaya nyingine huko mkoani Njombe, mtalaam wa ardhi alikwenda kupiga kambi kijijini kwa ajili ya hati, lakini wilaya ya jirani mtalaam hana habari.

Kwa ufupi, haieleweki. Huku pwani sijasikia kijiji cho chote. Labda Magamba wakiamua.
 
Nakumbuka mpango ule walianza na vijiji vya mfano vichache kwa kila Wilaya, na utakuta Wilaya nyingine wameshakamilisha ktk vijiji vichache na wilaya nyingine bado. Kuna kijiji niliandikisha jina mwaka mmoja umeshapita,hakuna hata mmoja pale kijijini aliyepata hiyo hati. Cha ajabu kijiji cha jirani wilaya nyingine mkoa huo huo unaweza kupata ndani ya miezi mitatu hivi. Kuna wilaya nyingine huko mkoani Njombe, mtalaam wa ardhi alikwenda kupiga kambi kijijini kwa ajili ya hati, lakini wilaya ya jirani mtalaam hana habari.

Kwa ufupi, haieleweki. Huku pwani sijasikia kijiji cho chote. Labda Magamba wakiamua.

huku kilimanjaro kuna wilaya ya mosh vijijin naona zinaendelea kutolewa,sasa nikaona nielemishwe!, kumbe ni pilot project! Thanx Malila.
 
Back
Top Bottom