KORBOTO
JF-Expert Member
- Feb 14, 2014
- 1,848
- 2,446
Habar za jumapili wanajukwaa, happy valentine day to you ALL.
Naombeni kujua kuhusu mada husika hapo juu, wengi tumekuwa tunanunua mashamba wilaya ya bagamoyo na wilaya za jirani na dar, ningependa kujua kama kuna utaratibu wa kuweza kupata hati ya kumiliki shamba langu. Hati itakayonisaidia kupata mkopo wa kutosha tu bank yoyote hapa dar.
Mfano shamba la ekari 5 maeneo ya kiwangwa naweza kupata mpaka mkopo wa bei gani? Shamba la ekari 20 maeneo ya Bwawani (mpaka na moro) naweza kupata mpaka mkopo wa bei gani?
Kama unainformation au experience yoyote kuhusiana na haya mambo tafadhali saidia, do not limit urself kwenye hayo hapo juu tu.
Natanguliza shukrani
Naombeni kujua kuhusu mada husika hapo juu, wengi tumekuwa tunanunua mashamba wilaya ya bagamoyo na wilaya za jirani na dar, ningependa kujua kama kuna utaratibu wa kuweza kupata hati ya kumiliki shamba langu. Hati itakayonisaidia kupata mkopo wa kutosha tu bank yoyote hapa dar.
Mfano shamba la ekari 5 maeneo ya kiwangwa naweza kupata mpaka mkopo wa bei gani? Shamba la ekari 20 maeneo ya Bwawani (mpaka na moro) naweza kupata mpaka mkopo wa bei gani?
Kama unainformation au experience yoyote kuhusiana na haya mambo tafadhali saidia, do not limit urself kwenye hayo hapo juu tu.
Natanguliza shukrani