Hao wakina nchimbi wanaweweseka na wanaona aibu ni kama walitaka kusaliti chama na umoja,kwani mbwembwe za lowasa hakuna ambaye hakuziona lakini wenye maono walikaa kimya wakijua nini kitatokea mwisho wa siku ya uchaguzi,hao hawana tofauti na kingunge ngombale,naona hata alishindwa kuattend mkutano mkuu na anaona aibu walitaka kutulisha ujinga wanaouamini wao kwa faida zao ili tuyakubali mawazo yao,wao ndiyo walitaka kuleta mpasuko,sophia simba ndumila kuwili alionekana kabisa kwenye mkutano mkuu akushangilia na kuhangaika kutaka ampe mkono magufuri bahati mbaya wakawa wanapishana,na alionekana kujichekeshachekesha kwa jk,jamaa akawa anampotezea alishamuona ni kinyonga