Mshani de Orbital
Member
- Oct 10, 2014
- 14
- 4
Hii ni baada ya wanafunzi wa kozi za afya kufanya mgomo uliodumu kwa siku 5, serikali yakiri kufanya uzembe ni baada ya kukutana na wanafunzi hao na kuwaomba kutulia kwa muda wa wiki mbili ambazo serikali imeahidi itakuwa imelifanyia kazi suala hili na kutoa majibu.
Kwa sasa wanafunzi wataendelea kuingia madarasani kama kawaida huku wakisubiri muafaka kati ya seikali na chuo hiki.
Kwa sasa wanafunzi wataendelea kuingia madarasani kama kawaida huku wakisubiri muafaka kati ya seikali na chuo hiki.