Hatimae baadhi ya viongozi Kenya wachukua hatua muafaka za kupunguza maambukizi

Hatimae baadhi ya viongozi Kenya wachukua hatua muafaka za kupunguza maambukizi

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617

Kuna baadhi ya viongozi wa "counties" baada ya kuona serikali ya Nairobi haijui la kufanya kupambana na kuenea kwa maambukizi ya Corona, waneamua kuiga mbinu za Tanzania, alianza Joho wa Mombasa, akafuatia Sonko, hongereni kwa kujiongeza, acha hao wanairobi waendelee kupima " aimlessly" bila kuchukua hatua zozote, bila shaka hizo statistics zitawasaidia kuombea pesa toka kwa wazungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kuna baadhi ya viongozi wa "counties" baada ya kuona serikali ya Nairobi haijui la kufanya kupambana na kuenea kwa maambukizi ya Corona, waneamua kuiga mbinu za Tanzania, alianza Joho wa Mombasa, akafuatia Sonko, hongereni kwa kujiongeza, acha hao wanairobi waendelee kupima " aimlessly" bila kuchukua hatua zozote, bila shaka hizo statistics zitawasaidia kuombea pesa toka kwa wazungu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Uko obsessed na Kenya wewe. Duh! Unakula, unakunywa, unalala Kenya asubuhi, mchana na Usiku ni Kenya. Kila siku ya wiki ni Kenya. Jichunge usije ukapoteza muda wako wote JF ukiiwaza Kenya ilhali Wakenya wanasukuma gurudumu la maisha kama kawaida
 
Nitakwambia Bro wewe endelea kufurahia mabaya ya Wakenya. Chunga Sana ungonjwa huu usije kuwamaliza watanzania Kisha Wakenya waje Tz kuyachukua mashamba na nafasi za kazi baada ya Corona kuwamaliza watu. Hilo ndilo ombi lako na litatimia tu.
 
Uko obsessed na Kenya wewe. Duh! Unakula, unakunywa, unalala Kenya asubuhi, mchana na Usiku ni Kenya. Kila siku ya wiki ni Kenya. Jichunge usije ukapoteza muda wako wote JF ukiiwaza Kenya ilhali Wakenya wanasukuma gurudumu la maisha kama kawaida
Give Him Time Bro. Hutajua akipotea JF...pride comes before a fall.
 
Hongera nyingi na shukrani zimfikie Magufuli 'The Anointed One'. Wachina, waitaliano na wamerekani pia wafuate muongozo wa Mzee, la sivyo dunia yote lazima itaangamia, isipokuwa Tz.
 
Wakenya namba inapaa HYO..
Mmekosea wapi?.
Mbona mlianza vizuri kuudhibiti huu ugonjwa kwa kupigana bakora nini kimetokea?
AU ni hujuma za WATZ?

"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
 
Mmeishia wapi kwenye bakora ?
Hongera nyingi na shukrani zimfikie Magufuli 'The Anointed One'. Wachina, waitaliano na wamerekani pia wafuate muongozo wa Mzee, la sivyo dunia yote lazima itaangamia, isipokuwa Tz.

"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
 
  • Thanks
Reactions: UCD
Mmeishia wapi kwenye bakora ?

"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
Nina matumaini kwamba viongozi wa Kenya watamuiga Magufuli, jembe la kweli, kwa hilo pia. Waliowapiga raia bakora lazima watapandishwa vyeo.
 
Nitakwambia Bro wewe endelea kufurahia mabaya ya Wakenya. Chunga Sana ungonjwa huu usije kuwamaliza watanzania Kisha Wakenya waje Tz kuyachukua mashamba na nafasi za kazi baada ya Corona kuwamaliza watu. Hilo ndilo ombi lako na litatimia tu.
Mbona Uzi huu nimesifia hizi juhudi za wakenya za kupambana na Corona, au hujauelewa huu Uzi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nitakwambia Bro wewe endelea kufurahia mabaya ya Wakenya. Chunga Sana ungonjwa huu usije kuwamaliza watanzania Kisha Wakenya waje Tz kuyachukua mashamba na nafasi za kazi baada ya Corona kuwamaliza watu. Hilo ndilo ombi lako na litatimia tu.
Hehee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom