Kuna watu wanabahati, kuna wanaoingia kaburini hawajawahi kuvaa gauni hili wengine wanalivaa zaidi ya mara moja. Ninawatakia maisha ya heri na furaha mr and mrs Kusekwa.
Kuna watu wanabahati, kuna wanaoingia kaburini hawajawahi kuvaa gauni hili wengine wanalivaa zaidi ya mara moja. Ninawatakia maisha ya heri na furaha mr and mrs Kusekwa.
By the way, maadam ni ndo ya kikristu inayofata maadili ya kizungu, jina Mbasha haliondoki. Atakuwa Flora Mbasha Kusweka. Ndio shida ya talaka za kizungu.