hapo kwenye nyekundu hebu funguka mama....
Kweli wewe ni Madam B sina nyongeza..lazima kuna mtu kakuuzi leo siyo bure..Tigo mkuu.
Anaifaidi sana.
Kwani wewe umepata mimba maana mlioko hapo redio ya wafu mnapaswa kupata mimba tu....Kimeeleweka!
Nilifikiri kapata mimba kuingia ndani hola
Kweli wewe ni Madam B sina nyongeza..lazima kuna mtu kakuuzi leo siyo bure..
k, Basi uwe na siku njema...Hakuna hata aliyeniudhi mkuu.
Nimefurahi tu kwa swali lako tata.
Nimekupenda bure.
Ni kati ya wanaume waliosemwa wanapumuliwa walioko pale redio ya wafu...
aya kachukue tiketi yako ya bure kwa jide! mwanaume hovyo wewe
mwanaume kama binti...naona jide na yeye ameajiri vibaraka wa kumpigia promo JF! Chezea chambi chambi wewe
ile show ya jide ambayo itatawaliwa na anaconda style sasa kimeeleweka baada ya prof j na juma nature kuthibitisha kwamba watamuunga mkono na kupiga nyimbo zao zote ambazo mashabiki wataomba wapigiwe.
Vilevile tiketi zimeongezwa nyingine baada ya zile za kwanza kuisha. Vilevile show itapigiwa pale parking baadala ya ndani ambapo pameonekana ni padogo kulingana na tiketi zilizo katwa.
Nakutakia mafanikio mema jide. Mia
"Redio imejaa mashoga watangazaji wanaliwa kama mboga ninapokuwa na jambo huwa mimi sifichi rugay bonge la snitch eti anaanzisha chama wakati yeye ndio chanzo cha mziki kukwawa"-sugu
Na wewe huwa unampigiaga Promo nani vile????
Hivi Nyani Ngabu wewe na Jay Dee mlikosana nini? Maana kila thread inayomuhusu JIDE huwa unaiponda, funguka ndugu.