"Redio imejaa mashoga watangazaji wanaliwa kama mboga ninapokuwa na jambo huwa mimi sifichi rugay bonge la snitch eti anaanzisha chama wakati yeye ndio chanzo cha mziki kukwawa"-sugu
Nyani Ngabu ni Gerald Hando.
Mkuu hapa umemaliza kila kitu.. Hata Ru-Gay nasikia anampanda MwanaFAtuma Binti Hamis
hivi mwanafatuma ilikuwaje mpaka akapakaziwa kashfa za kuwa ni mliberali?
hivi mwanafatuma ilikuwaje mpaka akapakaziwa kashfa za kuwa ni mliberali?
Kaka umejuaje uovyo wake au ushamtega akakataa?aya kachukue tiketi yako ya bure kwa jide! mwanaume hovyo wewe
Watapigiaje nje wakati hicho kimgahawa kipo kwenye residential area?
Si alisema show hapigi kwasababu ya marehemu, ila nadhani wikiendi hiyo hiyo alikuwa anapiga harusini au?
Alikosa kuuza alipoongeza hao wengine ndio tiketi zinbauza, sasa ni kwamba sio yeye anaeuza ni hao wanaume etc ndio wanauza kwahiyo show si ya yeye kama ilivyokuwa mwanzo ni ya wote sababu wanakuja kupiga nyimba zao zote wanazotaka.
Poleni team jide,
hata huyo uliyemkoti ndo hao hao mkuu...asikupe shida huyo anatetea wenzake...
Ile show ya Jide ambayo itatawaliwa na anaconda style sasa kimeeleweka baada ya prof J na Juma Nature kuthibitisha kwamba watamuunga mkono na kupiga nyimbo zao zote ambazo mashabiki wataomba wapigiwe.
Vilevile tiketi zimeongezwa nyingine baada ya zile za kwanza kuisha. vilevile show itapigiwa pale parking baadala ya ndani ambapo pameonekana ni padogo kulingana na tiketi zilizo katwa.
Nakutakia mafanikio mema Jide. mia
kamanda sugu aka kinega mkuu nae atakuwepo kumpa shavu jay dee. Nimemsikia jana kwenye maskani ya times fm akijitangaza. Hamza kalala nae ndani
Nyumbani lounge patatosha kweli, ka vpi iamishiwe Leaders.
Kagongwe...
Ni kati ya wanaume waliosemwa wanapumuliwa walioko pale redio ya wafu...