Hatimae Juma Jux ashusha ndinga nyeupe

ivan1212

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2019
Posts
932
Reaction score
2,441
Juma jux msanii hatimae kashusha mashine mpya kalii nyeupee. Mashine hiyo kali ni mwanadada ambae jux anaonekana akiwa nae huko serengeti national park wakila bata!
 
Yni bdo tu hamjajua kiki z bongo vanessa yupo pembeni hpo
 
Jux kasomea huko Macau hong Kong so kuwa na mtoto mzuri kama huyo ni kawaida na pia wakat anasoma ndo enzi zile za ngada kwa sana hivyo alikua ana mpunga sio wa kitoto. Tuseme huyu alisoma nae.
 
Jux kasomea huko Macau hong Kong so kuwa na mtoto mzuri kama huyo ni kawaida na pia wakat anasoma ndo enzi zile za ngada kwa sana hivyo alikua ana mpunga sio wa kitoto. Tuseme huyu alisoma nae.
Inaonekana amewala wengi huko china mpaka akaamua aanze kufumua marinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…