Cha kusikitisha ni kuwa chalii bado analiwa. Joho
😂😂😂😂😂Jux ndo yupi kati ya hao wawili
Maana naona wapo sawa , kwani ni shida wao kuwa marafiki wa kike
Tusaidiane mkuu wengine hatuwajui watu maarufu , maharufu ndo tunawajua kama
Unoma wangu ni nini mkuu wangu ?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu we ni noma sana
Hatari sana, Unabaki kupewa madem wa kuzugiaWafyatuaji washamaliza kazi zao aisee
Anavaaga sketi kwani huyo juxNi kweli jux hana Linda?
Wewe unamuona Vanessa hapo ?Yni bdo tu hamjajua kiki z bongo vanessa yupo pembeni hpo
HahaaaaDokta dudu baya mpima rinda anayo majib
Ila nadhani hanaa huyo wale wale tuu