Huo wimbo unaitwaje?Juma jux msanii hatimae kashusha mashine mpya kalii nyeupee. Mashine hiyo kali ni mwanadada ambae jux anaonekana akiwa nae huko serengeti national park wakila bata!View attachment 1145813View attachment 1145814View attachment 1145815
Dah....tangu njue Jamaa ni bwabwa hata Staki kumuona tenaCha kusikitisha ni kuwa chalii bado analiwa. Joho
Sasa jux si mchele analiwaJuma jux msanii hatimae kashusha mashine mpya kalii nyeupee. Mashine hiyo kali ni mwanadada ambae jux anaonekana akiwa nae huko serengeti national park wakila bata!View attachment 1145813View attachment 1145814View attachment 1145815
Jux anaelimu gani?Jux kasomea huko Macau hong Kong so kuwa na mtoto mzuri kama huyo ni kawaida na pia wakat anasoma ndo enzi zile za ngada kwa sana hivyo alikua ana mpunga sio wa kitoto. Tuseme huyu alisoma nae.
Anatoaga tu kijambio mbonaJux ndo huyo black beauty kumbe ni wa kiume ooh my God
Hawa vijana mbona wanavaa mavazi ya ajabu ajabu hivi hafu kamevaa na heleni sio kashoga haka ??!!
Ukute hata hizi picha kapiga VanessaJuma jux msanii hatimae kashusha mashine mpya kalii nyeupee. Mashine hiyo kali ni mwanadada ambae jux anaonekana akiwa nae huko serengeti national park wakila bata!View attachment 1145813View attachment 1145814View attachment 1145815
Vijana sikuhizi hawaangalii dini zao yaan full kutupia misalaba tu!Juma jux msanii hatimae kashusha mashine mpya kalii nyeupee. Mashine hiyo kali ni mwanadada ambae jux anaonekana akiwa nae huko serengeti national park wakila bata!View attachment 1145813View attachment 1145814View attachment 1145815
bachelor in computer engineering from chinaJux anaelimu gani?