Ndugu zetu naona mambo yao Shwari sasa,ila tatizo mswahili kwenye shida Upo nae mambo yakiwa poa wanapotea,jamaa mambo yao yameshanyooka ndio maana wametulia wanapiga kitabu sasa,ongereni sana vijana.
Ndugu zetu naona mambo yao Shwari sasa,ila tatizo mswahili kwenye shida Upo nae mambo yakiwa poa wanapotea,jamaa mambo yao yameshanyooka ndio maana wametulia wanapiga kitabu sasa,ongereni sana vijana.
Serikali inajenga usugu mioyoni mwa watoto maana tatizo kusuluhishwa ndani ya mda mfupi mpaka watoto wapigwe mabomu na virungu na hatimaye kufunga vyuo wakati ukichunguza kiumakini tatizo liko kwa Serikali.
Tusubiri kuiona Tanzania kuwa na watu kama Boko haramu na vijana wa kisomali.