Hamna mchezaji humoWakuu,
Jamaa kauona mwezi, Kibu Denis mchezaji machachari wa klabu ya Simba sc amefanikiwa kupata goli lake la kwanza tokea afunge kwa mala ya mwisho kwenye ligi ya NBC dhidi ya YANGA December 5 2023
Toa neno la pongezi kwa nguli huyu wa mpira Tanzania
Natoa hilo mala ya mwisho..naweka mara ya mwisho!Wakuu,
Jamaa kauona mwezi, Kibu Denis mchezaji machachari wa klabu ya Simba sc amefanikiwa kupata goli lake la kwanza tokea afunge kwa mala ya mwisho kwenye ligi ya NBC dhidi ya Yanga SC December 5 2023
Soma Pia: Full Time: Simba SC 6-0 Dodoma Jiji FC | NBC Premier League | KMC Complex | 14.03.2025
Toa neno la pongezi kwa nguli huyu wa mpira Tanzania
Kwahiyo December 5, 2023 mpaka leo ni miaka miwili!!!??? ELIMU ELIMU ELIMUWakuu,
Jamaa kauona mwezi, Kibu Denis mchezaji machachari wa klabu ya Simba sc amefanikiwa kupata goli lake la kwanza tokea afunge kwa mala ya mwisho kwenye ligi ya NBC dhidi ya Yanga SC December 5 2023
Soma Pia: Full Time: Simba SC 6-0 Dodoma Jiji FC | NBC Premier League | KMC Complex | 14.03.2025
Toa neno la pongezi kwa nguli huyu wa mpira Tanzania
Andika vzuri mkuundio maani aliufyata march 8
Kufunga hapo mpaka Game ya Yanga na Simba,Hapo kufunga tena mpaka mwakani.