Hatimae kilio cha wana wa sua chasikiwa

NAAMINI

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2013
Posts
672
Reaction score
235
vijana majina yametoka na kesho wanasaini boom....ni kelele za shangwe zilizsikika pale majina yalipokuwa yanabandikwa....sasa tumieni hizo fedha vizuri msije mkaanza kulalamika
 
vijana majina yametoka na kesho wanasaini boom....ni kelele za shangwe zilizsikika pale majina yalipokuwa yanabandikwa....sasa tumieni hizo fedha vizuri msije mkaanza kulalamika

Ahsante kwa taarifa mkuu
 
vijana majina yametoka na kesho wanasaini boom....ni kelele za shangwe zilizsikika pale majina yalipokuwa yanabandikwa....sasa tumieni hizo fedha vizuri msije mkaanza kulalamika

hongereni bado hawa majirani zenu wa MuM tu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…