Toosie Slide
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 788
- 955
Hakuna uhalisia hapoSalaam
Ni kitendawili Cha picha ambacho wengi walikua wakijiuliza watachomokaje?.
Upo juu ya mti umening'inia kwenye tawi, kwenye huo mti Kuna nyoka mwenye sumu Kali anakufata. Chini Kuna mto wenye maji ambapo Kuna mamba. Nchi kavu Kuna Simba.
Je, utahishikilia tawi kwa mda gani?
Tuangalialie utatuzi....View attachment 2305425View attachment 2305426View attachment 2305427View attachment 2305428View attachment 2305429View attachment 2305430View attachment 2305431View attachment 2305432
Hii picha ilikuwa sebleni kwetu kwa miaka mingi sanaπππ sijui hata alieinunua alikwa na lengo ganiSalaam
Ni kitendawili Cha picha ambacho wengi walikua wakijiuliza watachomokaje?.
Upo juu ya mti umening'inia kwenye tawi, kwenye huo mti Kuna nyoka mwenye sumu Kali anakufata. Chini Kuna mto wenye maji ambapo Kuna mamba. Nchi kavu Kuna Simba.
Je, utahishikilia tawi kwa mda gani?
Tuangalialie utatuzi....View attachment 2305425View attachment 2305426View attachment 2305427View attachment 2305428View attachment 2305429View attachment 2305430View attachment 2305431View attachment 2305432
Aisee..Hii picha ilikuwa sebleni kwetu kwa miaka mingi sanaπππ sijui hata alieinunua alikwa na lengo gani
AiseeSalaam
Ni kitendawili Cha picha ambacho wengi walikua wakijiuliza watachomokaje?.
Upo juu ya mti umening'inia kwenye tawi, kwenye huo mti Kuna nyoka mwenye sumu Kali anakufata. Chini Kuna mto wenye maji ambapo Kuna mamba. Nchi kavu Kuna Simba.
Je, utahishikilia tawi kwa mda gani?
Tuangalialie utatuzi....View attachment 2305425View attachment 2305426View attachment 2305427View attachment 2305428View attachment 2305429View attachment 2305430View attachment 2305431View attachment 2305432
Tuwe tunavaa boxer
Kwamba yanga wamechukua kombe ama?Mzee Simba haamini anachokiona ππ
Lengo ni kujifunza kuwa,katika maisha kuna wakati unaweza kuwa katikati ya shida na wakati mgumu sanaaa.Kwahiyo pamoja na ugumu huo yatupasa kutafuta namna ya ufumbuzi.Hii picha ilikuwa sebleni kwetu kwa miaka mingi sana[emoji23][emoji23][emoji23] sijui hata alieinunua alikwa na lengo gani
Mzee baba leta Tena simulizi basiAisee