Hatimae Madame B kaikana Dar Wing......

hizi tour zina mengi na hayo mengi tunasubiri kuyasikia kutoka kwenu mlioko huko.
NB:Hatutaki kusikia fulani alilewa akavaa pichu kichwani,fulani amegonganisha wakatwangana chupa and other evil stuffs,Otherwise Almighty God be with you all.

amina hadi saa hizi wote wapo salama
 
Duuhhh,

Hii timu inaelekea kunishinda!

Hivi huyu Smile yuko wapi aisee?
 
Last edited by a moderator:
Tena mkituondolea huyu Madame B hapa mjini mtakuwa mmetusaidia sana. Ila mjihadhari kama hakuna supu ya pweza wala madafu huko mjue mtakosa mwana na maji ya moto. Mtoto kashindikana mpaka kwa babu yake.:becky::becky::becky:
Hahahahahaha! Aisee
 
Last edited by a moderator:
Tena mkituondolea huyu Madame B hapa mjini mtakuwa mmetusaidia sana. Ila mjihadhari kama hakuna supu ya pweza wala madafu huko mjue mtakosa mwana na maji ya moto. Mtoto kashindikana mpaka kwa babu yake.:becky::becky::becky:

ahahahahaha mkuu mi nakupinga haiwezekani hujui Madame B ndio mnogesha shughuli hapa dar
 
Haaaa.....hv kumbe JF HQ Chugga tuna mvuto.....kuna hatari ya ndoa za watu kuvunjika hapa....hivi Madame B kapatwa na nini...? ni PJ kamzuzua au Arushaone.....? ki ufupi Tanga kunawaka moto wa bolingo motema na ngai.....

tosabiso abangise pepe naliko naipele botema nangae sherii nono ya Tanga..... Preta najua utakuwa umenielewa

Madame B njoo thibitisha haya maneno ya Preta... kama kweli Umeikana Dar wing
Watu8 hebu fuatilia hizi habari we wajua Mb alivyo kiungo huku
 
Duh mkuu Arushaone ...... Hakuna anaepinga.

Jamani TANGA acheni iitwe TANGA kwani ni TANGA kweli! Anayebisha afungiwe jiwe la tani moja atupwe kwenye kina kirefu baharini manina na robo tatu zake abishaye!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…