Nafuatilia sana kupitia BAE Radar, namuaona PakaJimmy anabishana na Madame B lakini Blaki Womani anamdhibiti kisha ni sehemu gani waende wakele bakurutu la ukweli tehe tehe.
hizi tour zina mengi na hayo mengi tunasubiri kuyasikia kutoka kwenu mlioko huko.
NB:Hatutaki kusikia fulani alilewa akavaa pichu kichwani,fulani amegonganisha wakatwangana chupa and other evil stuffs,Otherwise Almighty God be with you all.
Unajua sikuwepo kabisaaa siku ya Tukio lile?! Arushaone ananionea tu eti Lily Flower anacheza!!!!
Hata Preta Filipo Blaki Womani marejesho na KOKUTONA wanajua sikuwepo
Haaaa.....hv kumbe JF HQ Chugga tuna mvuto.....kuna hatari ya ndoa za watu kuvunjika hapa....hivi Madame B kapatwa na nini...? ni PJ kamzuzua au Arushaone.....? ki ufupi Tanga kunawaka moto wa bolingo motema na ngai.....
Haaaa.....hv kumbe JF HQ Chugga tuna mvuto.....kuna hatari ya ndoa za watu kuvunjika hapa....hivi Madame B kapatwa na nini...? ni PJ kamzuzua au Arushaone.....? ki ufupi Tanga kunawaka moto wa bolingo motema na ngai.....
Hana lolote huyo, atakuwa anawinda hela za bilionea mmoja.
Karibu chuga beibyDah kitambo sana aisee
Jamani TANGA acheni iitwe TANGA kwani ni TANGA kweli! Anayebisha afungiwe jiwe la tani moja atupwe kwenye kina kirefu baharini manina na robo tatu zake abishaye!
Nitakuja kwa ajili ya mpenzi wangu Mung ChrisKaribu chuga beiby