Hatimae mh. Jenista Mhagama anena kuhusu ajira za walimu wapya

Ngumu kumeza Mkuu!!! Lakini ikumbukwe Mukulu alisema 'mapema mwakani', kwa hiyo hata mwezi wa 5 bado itakuwa mapema.

Ila serikali hii haina mawasiliano ya wizara na wizara na wakati mwingine hutokea watu wa wizara moja wakatofautiana, mf. Mchome na Mulugo (DIVISION FIVE), na matamko yaliyo tolewa na watu watatu tofauti yana tofautiana.
Mulugo mwaka jana alisema ajira February-march 30
Akaja Majaliwa akasema mwezi wa kwanza,
Mkuu wa kaya akaamua kusema kisiasa kwa kusema mapema mwakani,
Huyu nae anasema ajira April.

Hawa wote ni wafanya kazi wa serikali moja, sijajua je ni udhaifu wa serikali au ni mipango mibovu na isiyo na uhakika.

Mie ukipita mwezi huu naweka mkataba private.
 
rais ameshatamka kuhusu ajira, majaaliwa nae amenena yake kuhusu ajira, mchome nae hakubaki nyuma nae katoa yake kuhusu ajira, mulugo nae enzi zake alizungumzia suala hilohilo, sasa mama nae kaja na lake kuhusu ajira. Sasa amebaki waziri mwenye dhamana kawambwa nae atoe lake ili tufunge mjadala namsubiri kwa hamu sana!!
 
kwann jenister anaongelea vichocholon, kwann asiite media aweke waz! magamba bwana cjui yakoje
 
Tanzania my country, abroad here i am, i don't feel back home. Though you are sick. When your health status gets down i will come for your salvations. I will foot your bills because it seems ur people can't do it for you. You raised me up, morrally, spritually, mentally, & phisically. I still love you though i am not there with you. When things become increasingly difficult, please hesitate not, call me. I have yet many good subjects on your land, whom i won't dissapoint. Your leaders are your killer. Don't believe them. I WISH YOU QUICK RECOVERY TANZANIA. Enjoy ur day.
 
labda mkuu kapitiwa badala ya kusema walimu wataripoti tar 1 march akasema tar 1 april...bado naamini serikali yetu ni sikivu majina yatatoka kat ya 14~20 mwez huu. wala haina haja ya kuandamana utaishia KUPIGWA TU.
 
NAUNGA MKONO PENDEKEZO,
TUNAKUTANA WAPI?,SAA NGapi na lini?naomba nijuzwe

Mimi mwenyewe ninaunga mkono kwenda tu kujua wanatoa lini hizo ajira,yani sio kuandamana ila tunaenda tunaelezea kuwa shida yetu ni kujua lini posts zinatoka.TUKUTANE WAPI WADAU?
 
Hamna jambo baya duniani ka kusubiri....utashangaa ikifka april wakasema june then september..... December ,tafuteni shule za private jamani mbona wanaajir??
 
Mlioko dsm nendn pale wizaran,kuhusu jenista iyo ni mipasho tu tshazoea,watoe tamko kwamba n lin watu tujue bna
 
labda mkuu kapitiwa badala ya kusema walimu wataripoti tar 1 march akasema tar 1 april...bado naamini serikali yetu ni sikivu majina yatatoka kat ya 14~20 mwez huu. wala haina haja ya kuandamana utaishia KUPIGWA TU.



Nipo makini katika kuandika mr na hapo hamna kilichokosewa labda useme unasubiri kaul ya Kawambwa itengue hayo
 
Ni vyema ikatangazwa rasmi kabisa kupitia vyombo vyote vya habar na pia wahusika wakapewa reson hadharan kuliko kua na habari zisizo rasmi angali serikal yetu ni ya wasomi!!!!!
 
N pm yko mkuu
Da majanga ndg zanguni, nikafungue mashamba 2 kwa babu, A FATHER, MUFINDI BOY,MLEVYA RASHID, & DZUDZUK , Naomben mnpm namba zenu walau 2we 2kifarjiana
 

ahahhahaha...i like it.
 

Bado matamko tutaendelea kuyasikia maana Nape hajatoa yamoyoni kuhusu ajira za walimu wapya, Komba hajasema na Mwisho Kinana nae alikua amesahau atatoa tamko. Sasa sijajua nani mkweli kati ya hao. Maana kuna matamko tofauti tofauti hadi yanatuchanganya kichwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…