Hatimae museveni asaini mswaada kuzuia homosexuality

Hatimae museveni asaini mswaada kuzuia homosexuality

Ahead

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2013
Posts
2,292
Reaction score
2,566
Rais wa Uganda amesaini mkataba unaozuia mapenzi ya jinsia moja na vitendo chochezi vya ngono,amepuuzilia mbali
vitisho vya mataifa ya magharibi kusitisha misaada nchini mwake,kasema yuganda ipo tayari kukosa hiyo misaada
lakini homosexuality in Uganda big NO!

Source:BBC.

Wito:Kama mtanznia ningependa sheria hii iwepo Tanzania,badala ya kubaki maneno tu,yasiyo na effect yeyote,
hasa kipindi hiki katiba ya nchi inapotengenezwa.
MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA!
 
From the NY TIMES:

"Western opposition to such measures is frequently interepreted as what Mr. Museveni on Monday called "an attempt at social imperialism, to impose social values."
 
sign5.JPG
 
The homos are apparently some of the suppoters of most governements ,though saddly. M 7 kasema homo no habit from his scientist. Sijui kama wanascience wao wa Kiganda wana werevu gani zaidi ya hao wengine ulimwenguni lakini facts ni facts. Japo sisapoti homosexuality ninadhani kwamba wote wanatakiwa waweke facts za kisayansi
kuonyesha kwamba home ni habit kwa pande zote za home.
 
Back
Top Bottom