Habari wana MMU?
Nikastory kafupi tu kiukweli. Sijawahi kumkula Mwarabu, ila leo nimekutana na Mwarabu, mtoto whiteeee [emoji847][emoji847] kwenye bus na nikaanza kumpigisha story anachekacheka tu. Mara nikamwambia naomba namba yako ya simu akanipa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nikamuuliza lini utakuwa free nikutoe out? Akanijibu siku yoyote. [emoji23][emoji23] Maana huyu mtoto anapoelekea ananikosha sasa, nimempangia nimpakie vumbi la mkongo [emoji1787][emoji1787][emoji1787] na hapa nilipo kila ninachomwambia anajichekelesha. Maombi yenu wadau. [emoji6][emoji6]