do! sasa naona unafifisha ndoto zangu,nanunua kwa wahindi,ni watumiaji wazuri wa magari..Hakikisha unanunua mpya usimvue mtu
Gari ni matengenezo tu. Unaweza ukakuta ulikuwa ulifanyii service ipasavyo mnunuzi akapata fundi mzuri gari likarudi kwenye mstari kabisa.Mzee mmoja kamnunulia mke mdogo. Aisee sikutegemea.
Gari ni matengenezo tu. Unaweza ukakuta ulikuwa ulifanyii service ipasavyo mnunuzi akapata fundi mzuri gari likarudi kwenye mstari kabisa.
Ndio kwa maana ipi?Ndio mkuu
Naomba kujua ulikua unatumia engine oil na oil ya gearbox ipi mkuu?Nilikuwa naipenda mno service siruki km.Yaani unakuta unaamka asubuhi tatizo flani linaanza ghafla.
Kawaida hiyo kwenye magari. Kilichotokea ni kwamba ulinunua gari bila kulifanyia analysis kubwa ya kila kitu wakati lilikuwa limeshazeeka.Nilikuwa naipenda mno service siruki km.Yaani unakuta unaamka asubuhi tatizo flani linaanza ghafla.