Hatimae ngalangala (Noah Voxy) nimeliuza

Inaonekana ulinunua kimeo mkuu. Hizo gari sio mbovu kiasi hicho. Inaonekana ilishapata shuruba za kutosha kabla ya kutua mikononi mwako.

Wakati mwingine bodi za gari na maileji zinatudanganya sana kuhusu ubora wa gari
na namba

unakuta unang'ang'ania namba D kumbe majanga tupu
 
Alphard sina uzoefu nazo ila migari yenye body kubwa engine za kawaida huwa siziamini to name the few Noah voxy,alphard,Toyota Wish,ISIS au kwa nissan xtrail.
Vipi Alphard wakuu?
 
Alphard sina uzoefu nazo ila migari yenye body kubwa engine za kawaida huwa siziamini to name the few Noah voxy,alphard,Toyota Wish,ISIS au kwa nissan xtrail.
Naona huyajui magari una generalized alphard yenye engine ya mz(3000) ulitaka iwe na engine ya cc elfu ngapi?
 
Ndio maana nimesema sina uzoefu na alphard
Naona huyajui magari una generalized alphard yenye engine ya mz(3000) ulitaka iwe na engine ya cc elfu ngapi?
 
yawezekqna ulikuwa hufanyi service zenye ubora...
Au yawezekana ulinunua kwa mtu ambaye naye lilishamshinda akakushikisha..[emoji3][emoji3]

Nina shemeji yangu kanunua Voxy namba B kwa mtu...ana miaka miwili sasa yupo nalo na gari linapiga kazi vizuri sana...huwa anafanya nalo safari ndefu mara kwa mara...haiishi mwezi lazima asafiri umbali usiopungua km 500+ likiwa na abiria kwa kila siti..[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Ilishawahi nitia Aibu niko na wakwe vioo havipandi wala kushuka huku mvua inanyesha.Walinuna wakawa wananiteta kilugha.


nimecheka sana wallahi, idumu jf.
 
Shida yetu tunanunua gari lakini hatujui gari hiyo inahitaji nini na nini. Hiyo gari inahitaji umakini wa hali ya juu kuanzia service mpaka mafuta unayoweka kila siku, sio ya kukurupuka tu
 
Baada ya kuhangaika na Noah voxy ambalo kwa muonekano wa nje linaonekana jipya (pamba) au wanasemaga in mint condition ila ilitaka kunifirisi...

[emoji3][emoji3][emoji3]
Pole sana mkuu najua adha za gari bovu...

Ila Voxy zinavutia sana machoni!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…