Mimi ndo mteja namba moja![emoji15] [emoji15] kumbeee kuna soko humu?
Umejuaje mkuu?mwenyeji karibu sana..ID ndio mpya ila ukongwe uleule
By experience mkuuUmejuaje mkuu?
Haya sie wageni wa mambo, huamini lolote.By experience mkuu
Hahaha angalia vizuri na hawa wanaojiitaga wageni wengi wao sioHaya sie wageni wa mambo, huamini lolote.
Lakin mie ni mgeni kabisa.Hahaha angalia vizuri na hawa wanaojiitaga wageni wengi wao sio
Nipo mtaalam pm tafadhali nikutich fastaMimi pia nimejiunga ila sijui jinsi ya reply message zaidi direct bila kudandia message ya mwingine, ile sehemu ya direct sijui jinsi ya kuingia
usiwaze mkuu kaa hapa hapa ukizoea utashuhudia haya siku mojaLakin mie ni mgeni kabisa.
Asante mkuu.usiwaze mkuu kaa hapa hapa ukizoea utashuhudia haya siku moja
Mkuu mbona unamtisha mgenihuko PM utapigwa mande hadi utakoma mwenyewe.