Pita nakwanguNakuja
Karibu sana ujusikie huru Minah24 Mimi ndiye Obama jrNakuja
[emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]Shukran mkuu
Umemmiss Faiza si bureFaiza Foxy huyo
Kila mwanaume na sera zake kama wanasiasa ila pia sio. wanaume wote ni korofi na sio kila mwanasiasa ni muongo.... Ngoja nije pm tuyajenge pamojaHamkawii kuniliza uko nikaanza kuandika Uzi wa kuwalaani
Karibu tuleHahahaaaa hapana cjawai kujiunga humu kabisaaa japokuwa nimekuwa nikiperuzi Mara nyingi tu