Bonyobonyo
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 226
- 233
Jukwaa gani hilo umejiunga nalo?baada ya kuhangaika mnoo hatimaye nimejiunga na jamii forums sasa nitaweza kuwasiliana kwa karibu na baadhi ya wanajukwaa niliopata kuvutiwa na thread zao kama mshana jr,gudume,gentamyn, nawasalimu. wana jukwaa wote
Ulipo nipo
Ulipo nipo
Karbu Sana uinjoy maisha....baada ya kuhangaika mnoo hatimaye nimejiunga na jamii forums sasa nitaweza kuwasiliana kwa karibu na baadhi ya wanajukwaa niliopata kuvutiwa na thread zao kama mshana jr,gudume,gentamyn, nawasalimu. wana jukwaa wote
ukiwa na maana gani mkuuJukwaa gani hilo umejiunga nalo?
Karbu Sana uinjoy maisha....[/QUOTEshuQUOTE]
shkrani
shkrani sana ndgu yangu nategemea kujifnza mengiKaribu sana JF..............
vip mkuu kuna tatizo lolote linapelekea mguno wako
poa poa............shkrani sana ndgu yangu nategemea kujifnza mengi
mbona unanitilia shaka hiv ndivyo mkaribishavo wageni mkuuId yako ya zaman ni ipi mkuu??
unataka kuniaminisha nini hapa mkuu kwa kauli yakoMshana JR tangu aoe imekuwa nongwa
Haonekani kabisa
Mara niliskia ameenda Kongo kukomboa uchawi
Swali zuri sana akikujibu nitag mkuuJukwaa gani hilo umejiunga nalo?
baada ya kuhangaika mnoo hatimaye nimejiunga na jamii forums sasa nitaweza kuwasiliana kwa karibu na baadhi ya wanajukwaa niliopata kuvutiwa na thread zao kama mshana jr,gudume,gentamyn, nawasalimu. wana jukwaa wote