M mwanakimji Member Joined Jun 9, 2010 Posts 8 Reaction score 0 Jun 9, 2010 #1 WanaJF, nipokeeni na mnipe raha na chungu ya jamvi hili
P Paul S.S JF-Expert Member Joined Aug 27, 2009 Posts 6,407 Reaction score 3,260 Jun 9, 2010 #2 karibu sana busara na hekima daima zikuongoze wakati wote unapokuwa jamvini
Teamo JF-Expert Member Joined Jan 9, 2009 Posts 12,271 Reaction score 1,052 Jun 9, 2010 #3 hilo jina dah!....
B Babuyao JF-Expert Member Joined Jun 6, 2009 Posts 1,741 Reaction score 272 Jun 9, 2010 #4 Mwanakimji karibu sana.
M mwanakimji Member Joined Jun 9, 2010 Posts 8 Reaction score 0 Jun 9, 2010 Thread starter #5 Usengwile
JS JF-Expert Member Joined Sep 29, 2009 Posts 2,064 Reaction score 504 Jun 9, 2010 #6 Karibu sana jamvini. Ila hilo jina limenichanganya kidogo kwa kusoma harakaharaka.
mayenga JF-Expert Member Joined Sep 6, 2009 Posts 4,118 Reaction score 1,970 Jun 9, 2010 #7 Karibu sana!
FirstLady1 JF-Expert Member Joined Jul 29, 2009 Posts 16,789 Reaction score 5,401 Jun 9, 2010 #8 Jisikie uko katika jamii ya jf
Kituko JF-Expert Member Joined Jan 12, 2009 Posts 9,555 Reaction score 9,357 Jun 9, 2010 #9 HILO JINA LINA SABABU, AU KUNA MTU KAKUINSIPAYA HUMU MWENYE JINA LINALOSHAHABIANA NA hILO?
minda JF-Expert Member Joined Oct 2, 2009 Posts 1,068 Reaction score 67 Jun 9, 2010 #10 karibu sana binti wa ikulu
Bigirita Platinum Member Joined Feb 12, 2007 Posts 16,039 Reaction score 7,465 Jun 9, 2010 #11 minda said: karibu sana binti wa ikulu Click to expand... prove! au ikulu ipi? Karibu dada..naona watu wameamua kukuita dada!!
minda said: karibu sana binti wa ikulu Click to expand... prove! au ikulu ipi? Karibu dada..naona watu wameamua kukuita dada!!
Preta JF-Expert Member Joined Nov 28, 2009 Posts 24,320 Reaction score 18,852 Jun 9, 2010 #12 Teamo said: hilo jina dah!.... Click to expand... mimi mwenyewe limenitatiza.....ila karibu sana kimji
Teamo said: hilo jina dah!.... Click to expand... mimi mwenyewe limenitatiza.....ila karibu sana kimji
Mzee Mwanakijiji Platinum Member Joined Mar 10, 2006 Posts 33,771 Reaction score 41,027 Jun 9, 2010 #13 mmmh.. hata mimi jina limenivutia amekaa kama wa kunyumba wenga!!
ngoshwe JF-Expert Member Joined Mar 31, 2009 Posts 4,131 Reaction score 937 Jun 9, 2010 #14 Pabomani pambane, chenjelai....
F Fernandes Rodri JF-Expert Member Joined Apr 11, 2009 Posts 519 Reaction score 256 Jun 9, 2010 #15 Karibu, zaukela?
MNDEE JF-Expert Member Joined Jul 10, 2009 Posts 491 Reaction score 68 Jun 10, 2010 #16 uwiiiii - sijui hii ni kweli au vipi nasikia kuna kabila moja kupiga yowe ndio kukaribisha!
Dreamliner JF-Expert Member Joined Jan 17, 2010 Posts 2,034 Reaction score 214 Jun 10, 2010 #17 Karibu sana.. Ulikuwa wapi?
M mwanakimji Member Joined Jun 9, 2010 Posts 8 Reaction score 0 Jun 10, 2010 Thread starter #18 minda said: karibu sana binti wa ikulu Click to expand... I like the way gender is asked in JF By the way naweza hata kuwa BIBI toka ikulu, still nikabaki gender iyoiyo
minda said: karibu sana binti wa ikulu Click to expand... I like the way gender is asked in JF By the way naweza hata kuwa BIBI toka ikulu, still nikabaki gender iyoiyo
M mwanakimji Member Joined Jun 9, 2010 Posts 8 Reaction score 0 Jun 10, 2010 Thread starter #19 Dreamliner said: Karibu sana.. Ulikuwa wapi? Click to expand... Bwana wee nilikuwepo, was leraning how to use internet...so have just qualified
Dreamliner said: Karibu sana.. Ulikuwa wapi? Click to expand... Bwana wee nilikuwepo, was leraning how to use internet...so have just qualified
M mwanakimji Member Joined Jun 9, 2010 Posts 8 Reaction score 0 Jun 10, 2010 Thread starter #20 Teamo said: hilo jina dah!.... Click to expand... Vipi likoje?