Huu ni udhaifu mkubwa sana,ipo siku watu watazusha hana nyeti...
Sijui ataweka picha ya nyeti zake?
Nashangaa watu wanasema hakuna uhakika wa kama huyo ni mwanamke wake, tokea lini Ommy akaweka picha akiwa na mwanamke Instagram?
Hili ni jibu kwa wanaomsema anapumuliwa.
Fine tuseme sio mwanamke wake kweli,bado haiondoi maana ya kwamba kawajibu wanaomtuhumu...
Kinachomatter hapa ni response...
Ambayo ndilo kosa lenyewe.