HATIMAE TFF IMEVUNA ILICHOKIPANDA

mpimamstaafu

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
4,445
Reaction score
4,707
Wadau nadhani yaliyotokea Misri kwa Timu ya Taifa sote ni Mashahidi.Timu imecheza mechi 3 ,imefungwa jumla ya magoli 8-2 na kuwa ya mwisho ktk kundi lake na kisha kutupwa nje ya mashindano raundi ya kwanza.Kocha Amunike tayari kajitetea kuwa ni kukosa uzoefu.Wadau tulisema mapema mara baada ya timu kufuzu Afcon kuwa mazoezi ya kuwajengea uwezo na uzoefu wachezaji yaanze lakini TFF haikutaka matokeo yake ikapeleka timu Misri siku 10 kabla eti ikafanye mazoezi hakika TFF imevuna ilichopanda.Watanzania tuache siasa kwenye mpira, ndio maana hata FIFA haitaki siasa eti Taifa Stars ni timu ya CCM,eti inatekeleza Ilani ya CCM.
 
Mwanzo mgumu huko mbeleni tutafanya vizuri
 
rais mwenyewe wa tff ni kada kindakindaki wa ccm! Na hajawahi kuficha mahaba yake. Sasa utaitenganisha vipi hiyo taasisi yake na siasa za awamu hii?

Au umeshasahau miezi michache iliyopita kule Arusha alivyowapiga mkwara wapinzani wake kuacha utundulisu? Tuvumilie tu, ipo siku yatakwisha.
 
TFF ni jumuiya ya CCM toka Msomali apate u Rais.
 
Naunga mkono hoja huyo Karia na Amunike wanatakiwa waje wajitetetee kwanini vile.
 
Huko Misri wangewapeleka kabisa na jeshi letu la polisi, hapo wapinzani wetu uwanjani wangekiona cha mtema kuni na hata marefa hawangebaki salama...refa ambaye angeruhusu na kukubali goli dhidi yetu angetumbuliwa hapo hapo! Chezea CCM, ikibidi hata risasi zingemiminika!
 
Kama TFF yenyewe inaongozwa na kada mtifuu wa CCM, unategemea Kiria atakuwa na akili timamu ya kuongoza TFF.
 

Bashite, failure in everything even on bed!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…