Hatimae tunamiliki TATA yetu baada ya kumaliza marejesho

Mie ata sijaelewaa
 
Sasa mnaanza kusheherekea kumaliza mkopo madikodiko badala ya kupiga kazi ili ilete mwenziwe? Angalieni msije zembea baada ya kuona hamna deni ila fanyane kazi kama mnadeni jipya
 
Mkuu kwa mujibu wa maelezo yako hapo ni kwamba milion 60 iwe imerudi ndani ya mwaka ina maana kila mwezi uwe unarudisha milion 60 sasa kwa biashara ya tata ina uwezo wa kuleta walau milion 6 kwa mwezi maana tano yao, moja kwa ajili yako posho za madereva bado hatujazungumzia mafuta unaweza kunisaidia kwenye hilo.
 

Nasubiri jibu hapa.
 
Soma post Kwa umakini cha kuongezea posho ni kidogo tu Kwa tingo mafundi tumedhibiti wenyewe
 
Ukipata route ya mkoa to mkoa zinalaza laki Tatu ukitoa gharama
 
Hapa ndounapopima akiri zetu. .......mtu kaweka ujumbe wa kuelimusha eli tujifunze jinsi ya kukopa ila wengi macho nakiri zinakimbilia vyakula alivyo download nakumshambulia vile vyakula in icon ya sherehe tu....ndomaana katika gazeti tunaangaliaga picha tu......elimu duni (eti bure)

kaleta mada nzuri sana hongera sana ku tuhabarisha nakutuhamasisha.
 
inamaana ulikuwa unamlipa mil 5 kila mwezi, iyo gari ilikuwa inafanya routes za wapi hadi kukusanya mil 5 kwa mwezi
 
Furaha ya aina hiyo ilitakiwa mtafute nyumba inayowahusu ya ibada mkaitoa,kwa pombe na kuku haikawii kula mzinga asbh mkaanza kilio
 
vijana wote tunaotafuta kutoka hapa panatuhusu kusikiliza kwa makini na kuelewa.
pia asante mkuu kwa kuuliza maswali yenye mantiki kama hayo
 
Tatizo ushamba Botega Gold red wines zipo hapa bongo umezoea misukari yako inayokuchachisha domo unaleta ujuaji pita kimya kimya kama hujavutiwa na thread yangu kabla sijakuhifadhi ktk teknolojia[emoji35]
Inshu cyo Botega Gold wines, inshu na hoja ni "habari picha" kwanza picha haioneshi km imepigwa hv karibuni na hilo wala haiitaji PHD kung'amua hilo, sasa kwann unataka kunasibisha habari na picha et mnajipongeza, au mlianza kujipongeza mwaka juzi ndio mkakopa TATA....maaana picha ya kihenga. Pili vyakula hvo mkuu lkn kwa ushauri tu habari yako at ungeiacha hvhvo kidgo ingefaa mada ilikuwa haiitaji "habari picha" maana kula ungekula hata kama ungefeli mkopo kwa mhindi.
Mwisho, MTU mzima hatishwi ndgu, habari ya kusema utanihifadhi kwa teknolojia ni Inferiority complex. Em Fanya then sema....km ulivyofanya kwenye TATA
 
Asante nakupa nyota tano Kwa comment yako nzuri[emoji93] [emoji93] [emoji93] [emoji93] [emoji93]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…