hatimae waliokosa mkopo waamua kwenda kuomba msaada ughaibuni

Muntu Ya Pori

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2013
Posts
222
Reaction score
64
wanafunzi waliokosa mkopo wameamua kwenda kuomba nchi za nje, tumeamua kuanzia Marekani; tutaenda Uingereza na nchi nyingine tajiri
 
msimdharau kwani kama mtu Ana dv1 yake ya pcm,anashindwa kupata scholarship nje ya Tz? yote yawezekana kama performance inaruhusu.
 
tatizo nini? kwani ninyi wadau mnashare vitu gani humu? nimeona nishee juhudi zetu na wadau mmeanza kuponda,ooooh fb,ooooh kaanzishe jf yako! hutaki kusoma na kuandika kinachoweza kusaidia aaaaaaacha.
 
hivi jamani hii nchi ina Rais kweli hii au tupo tupo tu
 
Hee, apo kwenye heading ughaibuni nliona kama mbinguni. Shollliiii
 
Vijana mie nawaunga mkono. Hebu iaibisheni serikali yenu isiyojali elimu kama kipaumbele chake. Kama mmeandamana kwenda kwa waziri Mulugo na kawapa majibu ya kipuuzi kama yale basi nendeni embassy ya US na mabango "MUSITUNUNULIE VYANDARUA TUPENI HIYO PESA TUSOME TUTENGENEZE WENYEWE"
jambo hilo litawatia aibu na watafanya wawezalo kuficha aibu hiyo nanyi mtapata ahueni na mtasoma. Serikali kama hizi mkizichekea mtakwenda na maji maana umri hausubiri mtu. Au mnataka kesho na keshokutwa kuwa vibarua wa watoto wa vigogo?
ITS NOW OR NEVER. DO IT
 

nakuunga mkono bro
 

Unaakili sana,,,,,Tanzania,,mpaka siku tuchapane kwanza ndio tutaeshimianaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…