Hatimaye Ajira mpya walimu wenye shahada haya hapa

hivi inakuwaje kwa mwalimu
aliyeomba akiwa na Degree na
akapigwa chini?kuna vigezo gani
vya watu kupangiwa zaidi ya
kuwa na cheti kizuri!kuna mtu wangu hajaona jina lake
 
Kuna best yangu kapangiwa mpwapwa, vp abt life pande zile....hali ya hewa, gharama za maisha n.k kwa anaepajua
 
Njoo mwana tujenge taifa,mi nipo kigoma vijijin toka 2009,tupo graduate4,nyarubanda high school,barabara rami,njia ya burund(kigoma kask)

Mkuu ntakuinbox baadae ili uwe mwenyeji wetu maana utakua msaada kweli kwa kuanzia mkuu,thanks
 
na washauri walimu wasitubutu kukataa kwenda vituoni kuripoti.kwakuwa wapo wengi walioomba kufundisha wasio walimu.kwahiyo ukipoteza nafasi kwa ahadi ya mjomba wako ya kukuhamisha umepotea.

mimi sijasomea ualimu,ni graduate wa fani nyingine,nikitaka kufundisha
natuma maombi ya kufundisha wizarani au kwa afisa elimu mkoa?
Nikituma sasa ivi kusubiri kupangiwa kituo ndio hadi mwakani au?
 

Hahahahahahaha wakuu hapa mmeniacha hoi kumbe mpo kituo kimoja hata kushitukiana? Kweli Jf watu wasiri kweli na ID zetu nikifika wakuu ntawajuza tuonane huko niko na washikaji zangu graduate kama 4 hivi tumepangiwa huko wote
 
hivi inakuwaje kwa mwalimu
aliyeomba akiwa na Degree na
akapigwa chini?kuna vigezo gani
vya watu kupangiwa zaidi ya
kuwa na cheti kizuri!kuna mtu wangu hajaona jina lake

Mpe pole huyo mshikaji na hilo tatizo sio kwake tu wapo washikaji zangu nao hawaoni majina yao,muulize ile form tulopewa tujaze kabla hatujaondoka aliijaza? Kuna wengine waliipuuza ndio miongoni mwao hawakuona majina yao,lakn pia kuna wengine walijaza ila majina yao hayajaonekana na kupangiwa kituo navyojua usiwe na Supplementary tuu mbali na hapo utakua uzembe wa watu wa wizara
 
Mwenye ufahamu kuhusu fedha ya kujikimu tunaomba ufafanuz...ni sh. ngapi kwa wale wa shahada tusije zinguliwa hko!?..

Kuna uzi humu ndani unajibu swali lako jaribu utafuta lakn jamaa alisema graduate ni laki6 na Dip laki4 mbali na mizigo
 
Oya washikaji kila la kheri huko vijijini. Ila msisahau mtakuwa wasimamizi kula 2015, kuweni makini, tunahitaji serikali makini ya vijana makini. Akili kichwani!.
 
Wakuu, afadhari nyie mliopata ajira maana mtatukumboa hata wenzenu tusiopata kwa kuwakaba usiku au vp wakuu? teh teh teh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…