Mwenye ufahamu kuhusu fedha ya kujikimu tunaomba ufafanuz...ni sh. ngapi kwa wale wa shahada tusije zinguliwa hko!?..
Asante mkuu ngoja nikatizame nami wamenipangia wapi
Njoo mwana tujenge taifa,mi nipo kigoma vijijin toka 2009,tupo graduate4,nyarubanda high school,barabara rami,njia ya burund(kigoma kask)
na washauri walimu wasitubutu kukataa kwenda vituoni kuripoti.kwakuwa wapo wengi walioomba kufundisha wasio walimu.kwahiyo ukipoteza nafasi kwa ahadi ya mjomba wako ya kukuhamisha umepotea.
Unaona sasa tatizo la kutotumia majina yetu halisi katika JF, kumbe tuko kituo kimoja halafu hatufahamiani, nami niko Nyarubanda High School, nafundisha masomo ya...........Basi Jumapili twende sokoni Manyovu tutaongea zaidi, si unajua sasa hivi lami Kigoma - Manyovu?
hongera sana mkuu
Naskia utaaaaaaaaaaaamu!...
kumbe 2na walimu wengi humu?
hivi inakuwaje kwa mwalimu
aliyeomba akiwa na Degree na
akapigwa chini?kuna vigezo gani
vya watu kupangiwa zaidi ya
kuwa na cheti kizuri!kuna mtu wangu hajaona jina lake
walimu wote nawatakia maisha mema mmenitoa mbali.
Mwenye ufahamu kuhusu fedha ya kujikimu tunaomba ufafanuz...ni sh. ngapi kwa wale wa shahada tusije zinguliwa hko!?..
Hahahahahahaha mkuu tindikali ulikua haujui hilo? Ndio hvyo tupo kibao humu ndani