Yeye pia binadamu so lazima tupeane nafasi nyingine za kujirekebisha cos ss sio watimilifu vituko vyake,mambo yake haviwezi mfanya asiwe mke bora cku zinaenda kasi sana,tumuombee kwa mwenyez mungu awe mke bora na wa mfano cos mm naamin hajaolewa kwa bahati mbaya ni mipango ya mwenyez mungu inshallah amjalie ndoa njema kufa na kuzika na yenye faida kwa kizaz chake chote,........m bora mbele ya mwenyezi mungu ni yule anaemuabudu na kumtegemea yeye...namtakia maisha mema na ya fanaka ktk ndoa yake