Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Epl ya wapi? Labda mbagalaAti bando la Afcon
Hawa hawa ndio tunawategemea kuonesha EPL
[emoji16][emoji16]
Huu hatuwezi kuuita "utapeli"??Walitangaza kwa mbwembwe sana na wengi wakanunua vifurushi, ukaja msiba bahati mbaya, msiba umekwisha na sasa kimya hata maelezo hakuna.
Huu ni uongo na utapeli lakini kwakuwa wao ni Azam wataachwa tu.
Wamedanganya umma.
Tume Ya Ushindani Iko Wapi?Huu hatuwezi kuuita "utapeli"??
huu ni utapeli halisiHuu hatuwezi kuuita "utapeli"??
Haa😀Kuna wajinga walikua wanalinganisha DStv na hizi takataka.
Sio kwamba bado wanaomboleza msiba wa wafanyakazi wao?....Nimekichukia king'amuzi cha azam yaani wametuaminisha kuweka kifurushi kumbe uzushi, amejaza michaneli yake kibao haina hata maana, hivi hakuna mwekezaji awekeze kwenye ving'amuzi hawa azam ni sawa na TBC tu
Ivi dstv kile kifurushi cha bomba cha @19,000 uwa kinakuwa na channel zinazoonyesha ligi kuu ya uingireza na uefa championi league??Tz hakuna kisimbuzi kama dstv overrrrrr
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]endelea kuota ndoto nyevuuIvi dstv kile kifurushi cha bomba cha @19,000 uwa kinakuwa na channel zinazoonyesha ligi kuu ya uingireza na uefa championi league??
baadhi ya game unaonaIvi dstv kile kifurushi cha bomba cha @19,000 uwa kinakuwa na channel zinazoonyesha ligi kuu ya uingireza na uefa championi league??
Walitangaza kwa mbwembwe sana na wengi wakanunua vifurushi, ukaja msiba bahati mbaya, msiba umekwisha na sasa kimya hata maelezo hakuna.
Huu ni uongo na utapeli lakini kwakuwa wao ni Azam wataachwa tu.
Wamedanganya umma.